Mwanzoni alitokea kwenye kundi flani liitwalo "Manduli Mobb" walifanya nyimbo kadha wa kadha ikiwemo ile ya 'Maskini Jeuri' walishirikiana na 'Juma Nature' hiyo ilikuwa mwaka 2000 baadae kundi lika tawanyika na kila mtu kuanza kufanya kazi za muziki akiwa peke yake na sio na kundi tena, alio anza kutoa nyimbo yake peke alikuwa "Bwana Mkubwa" baadae Mh Temba nae akatoa nyimbo yake ya kwanza ilioitwa "Nakumaindi" ilikuwa mwaka 2001 Mwishoni ambayo ilitayarishwa na Muuandaaji Papa Lavu maarufu kama Bonny Lavu.
Je,Mheshimiwa Temba alianza sanaa ya mziki mwaka upi?
Ground Truth Answers: 20002000
Prediction: